Picha za Matukio

Mwenyekiti wa Tume ashuhudia mafunzo kwa Watendaji wa Uboreshaji Kata ya Kihonda

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage (aliyevaa kofia) akishuhudia mafunzo ya BVR ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura kwenye Kata ya Kihonda katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage (aliyevaa kofia) akishuhudia mafunzo ya BVR ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura kwenye Kata ya Kihonda katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage (kulia) akizungumza kwenye mafunzo.Kulia kwake ni Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi Giveness Aswile na Mjumbe wa Tume Mhe. Omari Ramadhani Mapuri.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage (kulia) akizungumza kwenye mafunzo.Kulia kwake ni Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi Giveness Aswile na Mjumbe wa Tume Mhe. Omari Ramadhani Mapuri.
Mjumbe wa Tume Mhe. Omari Ramadhani Mapuri akitoa mchango wake
Mjumbe wa Tume Mhe. Omari Ramadhani Mapuri akitoa mchango wake
Mjumbe wa Tume Mhe. Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akifafanua jambo wakati wa mafunzo
Mjumbe wa Tume Mhe. Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akifafanua jambo wakati wa mafunzo
Baadhi ya washiriki wa mafunzo wakifuatilia mafunzo
Baadhi ya washiriki wa mafunzo wakifuatilia mafunzo
Baadhi ya washiriki wa mafunzo wakifuatilia mafunzo
Baadhi ya washiriki wa mafunzo wakifuatilia mafunzo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *