• Home
  • Tovuti ya Nec
    • Feedback

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
BLOGU RASMI YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI

Category: Picha za Matukio

Picha za Matukio

Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika mikoa ya Manyara, Simiyu na Mara

September 11, 2019September 7, 2020| Hussein Makame|Leave a comment

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Semistocles Kaijage akizungumza na maafisa uandikishaji ngazi ya Kata, Bariadi Mji Mkoani Simiyu.Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Semistocles Kaijage akizungumza na maafisa uandikishaji ngazi ya Kata, Bariadi Mji Mkoani Simiyu.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Mbarouk Salim Mbarouk amekutana na kuzungumza na wawakilishi wa wazee wa kimila Mkoani Manyara, [...]
</p>

			</div><!-- .entry-content -->
	<div class= Continue Reading

Picha za Matukio

Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha

September 11, 2019| Hussein Makame|Leave a comment

1.Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia (aliyevaa suti) ametembelea Kituo cha Kuandikishia Wapiga Kura cha Ofisi ya Mtendaji Kata ya Murieti Halmashauri ya Jiji la Arusha wakati wa Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa Mikoa ya Arusha na Kilimanjaro.1. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia (aliyevaa suti) ametembelea Kituo cha Kuandikishia Wapiga Kura cha Ofisi ya Mtendaji Kata […]

Continue Reading
Picha za Matukio

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa azindua Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura

September 11, 2019| Hussein Makame|Leave a comment

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa alihutubia wakazi wa Kata ya Bomambuzi katika Manipstaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro kwenye uzinduzi wa Uboresdhaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura.Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa alihutubia wakazi wa Kata ya Bomambuzi katika Manipstaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro kwenye uzinduzi wa Uboresdhaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura.
Mwenyekiti wa Tume [...]
</p>

			</div><!-- .entry-content -->
	<div class= Continue Reading

Picha za Matukio

Tume yakutana na wadau wa uchaguzi kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura

August 14, 2019August 14, 2019| Hussein Makame|Leave a comment

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji (R) Semistocles Kaijage akifungua mkutano wa wadau wa uchaguzi ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftrai la Wapiga Kura.Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji (R) Semistocles Kaijage akifungua mkutano wa wadau wa uchaguzi ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftrai la Wapiga Kura.
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa [...]
</p>

			</div><!-- .entry-content -->
	<div class= Continue Reading

Picha za Matukio

Wafanyakazi wa Tume washiriki Maadhimisho ya Mei Mosi, Dar es Salaam

May 2, 2019| Hussein Makame|Leave a comment

Wafanyakazi wa Tume wakiwa kwenye maandamano wakati waliposhikiriki kwenye Maadhimisho ya Mei Mosi 2019, Dar es SalaamWafanyakazi wa Tume wakiwa kwenye maandamano wakati waliposhikiriki kwenye Maadhimisho ya Mei Mosi 2019, Dar es Salaam
Wafanyakazi wa Tume wakiwa kwenye maandamano wakati waliposhikiriki kwenye Maadhimisho ya Mei Mosi 2019, Dar es Salaam Continue Reading

Picha za Matukio

Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura kwa Majaribio wakamilika

April 8, 2019April 8, 2019| Hussein Makame|Leave a comment

BVR Operator akichukua alama za vidole vya mikono mmoja wa wananchi waliofika kujiandikisha kwenye kata ya Kihonda mkoani Morogoro.BVR Operator akichukua alama za vidole vya mikono mmoja wa wananchi waliofika kujiandikisha kwenye kata ya Kihonda mkoani Morogoro.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage akizungumza na wakala wa uandikishaji katika moja ya vituo vya uboreshaji wa majaribio katika [...]
</p>

			</div><!-- .entry-content -->
	<div class= Continue Reading

Picha za Matukio

Wakazi wa Kata za Kihonda na Kibuta wajitokeza kuandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura

March 29, 2019| Hussein Makame|Leave a comment

Mkazi wa Kata ya Kihonda akipigwa picha wakati akiandikishwa
Baadhi ya wakazi wa Kata ya Kihonda wakiwa kwenye foleni ya kujiandikishaBaadhi ya wakazi wa Kata ya Kihonda wakiwa kwenye foleni ya kujiandikisha
Baadhi ya wakazi wa Kata ya Kihonda wakisubiri kujiandikisha

Continue Reading
Picha za Matukio

Mwenyekiti wa Tume ashuhudia mafunzo kwa Watendaji wa Uboreshaji Kata ya Kihonda

March 28, 2019March 28, 2019| Hussein Makame|Leave a comment

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage (aliyevaa kofia) akishuhudia mafunzo ya BVR ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura kwenye Kata ya Kihonda katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage (aliyevaa kofia) akishuhudia mafunzo ya BVR ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura […]

Continue Reading
Picha za Matukio

Tume yatoa mafunzo kwa Watendaji wa Uboreshaji kwenye Kata ya Kibuta na Kihonda

March 28, 2019March 28, 2019| Hussein Makame|Leave a comment

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Jokate Mwengelo akifungua Mafunzo kwa Watendaji wa Uboreshaji katika ngazi ya Jimbo leo Machi 26, 2019 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani.Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia.Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Jokate Mwengelo akifungua Mafunzo kwa Watendaji wa Uboreshaji katika ngazi ya Jimbo leo Machi 26, 2019 […]

Continue Reading
Picha za Matukio

Tume yakutana na viongozi wa vyama vya siasa kujadili Kanuni za Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura

March 6, 2019March 6, 2019| Mbanga Rubibi|Leave a comment

Mwenyekiti wa Tume Jaji (R) Semistolces Kaijage akitoa hotuba ya ufunguzi wa mkutano na viongozi wa vyama vya siasa.Mwenyekiti wa Tume Jaji (R) Semistolces Kaijage akitoa hotuba ya ufunguzi wa mkutano na viongozi wa vyama vya siasa.
Baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa wakifuatili mjadala. Continue Reading

Posts navigation

Older posts

Archives

  • September 2019
  • August 2019
  • June 2019
  • May 2019
  • April 2019
  • March 2019
  • February 2019
  • December 2018
  • November 2018

Recent Posts

  • Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika mikoa ya Manyara, Simiyu na Mara
  • Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha
  • Waziri Mkuu Kassim Majaliwa azindua Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
  • Tume yawataka viongozi wa dini kuwahimiza waumini wao wajitokeze kujiandikisha au kuboresha taarifa zao
  • Tume yakutana na wadau wa uchaguzi kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura

Categories

  • Habari
  • Makala Maalum
  • Picha za Matukio
  • Taarifa kwa Umma
April 2021
S M T W T F S
« Sep    
 123
45678910
11121314151617
18192021222324
252627282930  

Copyright © 2021 National Electoral Commision . Developed by e-Government Agency