Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Semistocles Kaijage akizungumza na maafisa uandikishaji ngazi ya Kata, Bariadi Mji Mkoani Simiyu.
Continue Reading
Category: Picha za Matukio
Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha
1. Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia (aliyevaa suti) ametembelea Kituo cha Kuandikishia Wapiga Kura cha Ofisi ya Mtendaji Kata […]
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa azindua Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa alihutubia wakazi wa Kata ya Bomambuzi katika Manipstaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro kwenye uzinduzi wa Uboresdhaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga kura.
Continue Reading
Tume yakutana na wadau wa uchaguzi kuhusu Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji (R) Semistocles Kaijage akifungua mkutano wa wadau wa uchaguzi ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftrai la Wapiga Kura.
Continue Reading
Wafanyakazi wa Tume washiriki Maadhimisho ya Mei Mosi, Dar es Salaam
Wafanyakazi wa Tume wakiwa kwenye maandamano wakati waliposhikiriki kwenye Maadhimisho ya Mei Mosi 2019, Dar es Salaam
Continue Reading
Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura kwa Majaribio wakamilika
BVR Operator akichukua alama za vidole vya mikono mmoja wa wananchi waliofika kujiandikisha kwenye kata ya Kihonda mkoani Morogoro.
Continue Reading
Wakazi wa Kata za Kihonda na Kibuta wajitokeza kuandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
Baadhi ya wakazi wa Kata ya Kihonda wakiwa kwenye foleni ya kujiandikisha
Mwenyekiti wa Tume ashuhudia mafunzo kwa Watendaji wa Uboreshaji Kata ya Kihonda
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R) Semistocles Kaijage (aliyevaa kofia) akishuhudia mafunzo ya BVR ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura […]
Tume yatoa mafunzo kwa Watendaji wa Uboreshaji kwenye Kata ya Kibuta na Kihonda
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Jokate Mwengelo akifungua Mafunzo kwa Watendaji wa Uboreshaji katika ngazi ya Jimbo leo Machi 26, 2019 […]
Tume yakutana na viongozi wa vyama vya siasa kujadili Kanuni za Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura
Mwenyekiti wa Tume Jaji (R) Semistolces Kaijage akitoa hotuba ya ufunguzi wa mkutano na viongozi wa vyama vya siasa.
Continue Reading